iqna

IQNA

FIFA 2022
Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya mashabiki Waislamu waliohudhuria mechi ya Morocco dhidi ya Ufaransa nchini Qatar walikariri tamko la Kiislamu la imani, au shahada, siku ya Jumatano, na kutuma ujumbe kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aliyekuwa uwanjani hapo.
Habari ID: 3476258    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Mtaalamu mmoja anasema maandalizi "ya kuvutia" ya Qatar ya Kombe la Dunia la FIFA la 2022 yamebatilisha juhudi za nchi za Magharibi za kuonyesha picha mbaya ya Waislamu na Waarabu ambapo daima wamekuwa wakihusishwa na ugaidi na machafuko.
Habari ID: 3476176    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30